Skip to content
Ezekieli 4:9-11

Ezekieli 4:9-11

9
“Chukua ngano na shayiri, maharagwe na dengu, mtama na mawele, uviweke na kuvihifadhi vyote kwenye gudulia la kuhifadhia, na uvitumie kujitengenezea mkate. Utaula mkate huo kwa hizo siku 390 utakazokuwa umelala kwa upande mmoja.
10
Pima shekeli ishirini za chakula utakachokula kwa kila siku, nawe utakula kwa wakati uliopangwa.
11
Pia pima maji moja ya sita ya hini, nawe utakunywa kwa wakati uliopangwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options