Skip to content
Ezekieli 39:3-6

Ezekieli 39:3-6

3
Kisha nitaupiga upinde wako kutoka mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale ianguke kutoka mkono wako wa kuume.
4
Utaanguka kwenye milima ya Israeli, wewe pamoja na vikosi vyako vyote na yale mataifa yaliyo pamoja nawe. Nitakutoa uwe chakula cha ndege wa aina zote walao nyama na cha wanyama wa mwituni.
5
Utaanguka katika uwanja, kwa kuwa nimenena, asema Bwana Mwenyezi.
6
Nitatuma moto juu ya Magogu na kwa wale wanaoishi kwa salama huko pwani, nao watajua kwamba Mimi ndimi Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options