ข้ามไปยังเนื้อหา
Ezekieli 34:15-16

Ezekieli 34:15-16

15
Mimi mwenyewe nitawachunga kondoo zangu na kuwafanya wapumzike, asema Bwana Mwenyezi.
16
Nitawaulizia kondoo waliopotea na kuwaleta waliotangatanga. Nitawafunga waliojeruhiwa na kuwatia nguvu walio dhaifu lakini wale waliojikinai na wenye nguvu nitawaangamiza. Nitalichunga kundi kwa haki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options