Skip to content
Ezekieli 16:10-11

Ezekieli 16:10-11

10
Nikakuvika vazi lililotariziwa na kukuvalisha viatu vya kamba vya ngozi. Nikakuvika nguo za kitani safi na kukufunika kwa mavazi ya thamani kubwa.
11
Nikakupamba kwa vito: nikakuvika bangili mikononi mwako na mkufu shingoni mwako,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options