Skip to content
Ezekieli 1:4-6

Ezekieli 1:4-6

4
Nilitazama, nikaona dhoruba kubwa ikitoka kaskazini, wingu kubwa sana pamoja likiwa na umeme wa radi likiwa limezungukwa na mwanga mkali. Katikati ya huo moto kulikuwa kama rangi ya manjano ya chuma kinapokuwa ndani ya moto.
5
Katika ule moto kulikuwa na kitu kinachofanana na viumbe vinne vyenye uhai. Katika kuonekana kwake vilikuwa na umbo mfano wa mwanadamu,
6
lakini kila kimoja kilikuwa na nyuso nne na mabawa manne.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options