Skip to content
Kutoka 9:31-32

Kutoka 9:31-32

31
(Kitani na shayiri viliharibiwa, kwa kuwa shayiri ilikuwa na masuke, na kitani ilikuwa katika kutoa maua.
32
Hata hivyo, ngano na jamii nyingine ya ngano hazikuharibiwa kwa sababu zilikuwa hazijakomaa bado.)
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options