Skip to content
Kutoka 8:12-13

Kutoka 8:12-13

12
Baada ya Mose na Aroni kuondoka kwa Farao, Mose akamlilia Bwana kuhusu vyura aliokuwa amewaleta kwa Farao.
13
Naye Bwana akafanya lile Mose alilomwomba. Vyura wakafia ndani ya nyumba, viwanjani na mashambani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options