Skip to content
Kutoka 6:18-22

Kutoka 6:18-22

18
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.
19
Wana wa Merari walikuwa Mahli na Mushi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Lawi kufuatana na orodha zao.
20
Amramu akamwoa Yokebedi, shangazi yake, ambaye alimzalia Aroni na Mose. Amramu aliishi miaka 137.
21
Wana wa Ishari walikuwa Kora, Nefegi na Zikri.
22
Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elisafani na Sithri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options