Skip to content
Kutoka 40:3-5

Kutoka 40:3-5

3
Weka Sanduku la Ushuhuda ndani yake na ulifunike kwa pazia. Ingiza meza na kupanga vitu vyake juu yake.
4
Kisha ingiza kinara cha taa na uweke taa zake juu yake.
5
Weka madhabahu ya dhahabu ya kufukizia uvumba mbele ya Sanduku la Ushuhuda kisha uweke pazia kwenye lango la Maskani ya Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options