Skip to content
Kutoka 4:2-3

Kutoka 4:2-3

2
Ndipo Bwana akamwambia, “Ni nini hicho kilicho mkononi mwako?” Akajibu, “Fimbo.”
3
Bwana akasema, “Itupe chini.” Mose akaitupa chini hiyo fimbo nayo ikawa nyoka, naye akaikimbia.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options