Skip to content
Kutoka 4:11-12

Kutoka 4:11-12

11
Bwana akamwambia, “Ni nani aliyempa mwanadamu kinywa? Ni nani aliyemfanya mtu kuwa kiziwi au bubu? Ni nani anayempa mtu kuona au upofu? Je, si mimi, Bwana?
12
Sasa nenda, nitakusaidia kusema, nami nitakufundisha jambo la kusema.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options