Skip to content
Kutoka 37:14-15

Kutoka 37:14-15

14
Pete hizo ziliwekwa karibu na ukingo ule ili kuishikilia ile mipiko iliyotumika kuibebea hiyo meza.
15
Mipiko hiyo ya kubebea meza ilitengenezwa kwa mti wa mshita, na ilikuwa imefunikwa kwa dhahabu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options