Kutoka 37:1-2
1
Bezaleli akatengeneza Sanduku la mbao za mshita: urefu wake ulikuwa dhiraa mbili na nusu, upana wake dhiraa moja na nusu, na kimo chake dhiraa moja na nusu.
2
Akalifunika kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulizungushia ukingo wa dhahabu.