Skip to content
Kutoka 36:5-7

Kutoka 36:5-7

5
wakaja na kumwambia Mose, “Watu wanaleta vitu vingi kuliko tunavyohitaji kwa ajili ya kazi hii ambayo Bwana ameagiza ifanyike.”
6
Ndipo Mose akatoa agizo, nao wakapeleka neno hili katika kambi yote: “Mtu yeyote mwanaume au mwanamke asilete tena kitu chochote kwa ajili ya sadaka ya mahali patakatifu.” Hivyo watu wakazuiliwa kuleta zaidi,
7
kwa sababu walivyokuwa navyo tayari vilitosha na kuzidi kuifanya kazi yote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options