Skip to content
Kutoka 31:1-5

Kutoka 31:1-5

1
Ndipo Bwana akamwambia Mose,
2
“Tazama, nimemchagua Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la Yuda,
3
nami nimemjaza Roho wa Mungu, pamoja na ustadi, uwezo na ujuzi katika aina zote za ufundi,
4
ili kubuni michoro ya kupendeza katika ufundi wa dhahabu, fedha na shaba,
5
kuchonga vito na kuvitia mahali, kufanya ufundi kwa mbao, na kujishughulisha na aina zote za ufundi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options