Skip to content
Kutoka 28:6-7

Kutoka 28:6-7

6
“Tengeneza kisibau cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa, kazi ya fundi stadi.
7
Kitakuwa na vipande viwili vya mabegani vilivyoshikizwa kwenye pembe zake mbili ili kufungia kisibau.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options