Skip to content
Kutoka 27:1-2

Kutoka 27:1-2

1
“Jenga madhabahu ya mbao za mti wa mshita, kimo chake kiwe dhiraa tatu; itakuwa mraba, urefu wake dhiraa tano, na upana wake dhiraa tano.
2
Tengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu ziwe zimeungana, na ufunike madhabahu kwa shaba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options