Skip to content
Kutoka 26:7-8

Kutoka 26:7-8

7
“Tengeneza mapazia kumi na moja ya singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika maskani.
8
Mapazia hayo kumi na moja yatakuwa na kipimo kimoja, yaani urefu wa dhiraa thelathini, na upana wa dhiraa nne.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options