Skip to content
Kutoka 26:7-8

Kutoka 26:7-8

7
“Tengeneza mapazia kumi na moja ya singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika maskani.
8
Mapazia hayo kumi na moja yatakuwa na kipimo kimoja, yaani urefu wa dhiraa thelathini, na upana wa dhiraa nne.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options