Kutoka 26:15-18
15
“Tengeneza mihimili ya kusimamisha ya mti wa mshita kwa ajili ya maskani.
16
Kila mhimili uwe na urefu wa dhiraa kumi na upana wa dhiraa moja na nusu,
17
zikiwa na ndimi mbili zilizo sambamba kila mmoja na mwingine. Tengeneza mihimili yote ya maskani jinsi hii.
18
Tengeneza mihimili ishirini kwa ajili ya upande wa kusini wa maskani,
Settings