Skip to content
Kutoka 25:12-14

Kutoka 25:12-14

12
Utalisubu kwa pete nne za dhahabu na kuzifungia kwenye miguu yake minne, pete mbili kwa upande mmoja na pete mbili kwa upande mwingine.
13
Kisha utatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu.
14
Utaiingiza hiyo mipiko kwenye zile pete katika pande mbili za Sanduku ili kulibeba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options