Skip to content
Kutoka 24:9-10

Kutoka 24:9-10

9
Mose na Aroni, Nadabu na Abihu, pamoja na wazee sabini wa Israeli wakapanda mlimani,
10
nao wakamwona Mungu wa Israeli. Chini ya miguu yake kulikuwa na kitu kama sakafu ya mawe ya yakuti samawi, iliyo safi kama anga angavu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options