Kutoka 24:16-17
16
nao utukufu wa Bwana ukatua juu ya Mlima Sinai. Kwa muda wa siku sita wingu lilifunika mlima, na siku ya saba Bwana akamwita Mose kutoka katikati ya lile wingu.
17
Kwa Waisraeli utukufu wa Bwana ulionekana kama moto uteketezao juu ya mlima.