Skip to content
Kutoka 23:32-33

Kutoka 23:32-33

32
Usifanye agano lolote nao wala na miungu yao.
33
Usiwaache waishi katika nchi yako, la sivyo watakusababisha utende dhambi dhidi yangu, kwa sababu ibada ya miungu yao hakika itakuwa mtego kwako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options