Skip to content
Kutoka 23:1-3

Kutoka 23:1-3

1
“Usieneze habari za uongo. Usimsaidie mtu mwovu kwa kuwa shahidi mwenye nia ya kudhuru wengine.
2
“Usifuate umati wa watu katika kutenda mabaya. Unapotoa ushahidi kwenye mashtaka, usipotoshe haki ukijumuika na umati wa watu,
3
nawe usimpendelee mtu maskini katika mashtaka yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options