Skip to content
Kutoka 22:28-31

Kutoka 22:28-31

28
“Usimkufuru Mungu au kumlaani mtawala wa watu wako.
29
“Usiache kutoa sadaka kutoka ghala lako au mapipa yako. “Lazima unipe mzaliwa wa kwanza wa wana wako.
30
Ufanye vivyo hivyo kwa ngʼombe wako na kwa kondoo wako. Waache wakae na mama zao kwa siku saba, lakini siku ya nane unipe.
31
“Ninyi mtakuwa watu wangu watakatifu. Kwa hiyo msile nyama ya mnyama aliyeraruliwa na wanyama pori; mtupieni mbwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options