Skip to content
Kutoka 21:33-34

Kutoka 21:33-34

33
“Kama mtu akiacha shimo wazi, ama akachimba shimo kisha asilifukie, na ngʼombe au punda akatumbukia ndani yake,
34
mwenye shimo ni lazima alipe hasara iliyotokea; ni lazima amlipe mwenye mnyama. Mnyama aliyekufa atakuwa wake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options