Skip to content
Kutoka 21:22-25

Kutoka 21:22-25

22
“Ikiwa watu wawili wanapigana na wakamuumiza mwanamke mjamzito, naye akazaa kabla ya wakati lakini hakuna majeraha makubwa, mhalifu atatozwa mali kiasi cha madai ya mume wa yule mwanamke, na jinsi mahakama itakavyoamua.
23
Lakini kukiwa na jeraha kubwa, ni lazima ulipe uhai kwa uhai,
24
jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu,
25
kuchomwa moto kwa kuchomwa moto, jeraha kwa jeraha, mchubuko kwa mchubuko.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options