Skip to content
Kutoka 20:3-5

Kutoka 20:3-5

3
Usiwe na miungu mingine ila mimi.
4
Usijitengenezee sanamu katika umbo la kitu chochote kilicho juu mbinguni, au duniani chini, au ndani ya maji.
5
Usivisujudie wala kuviabudu; kwa kuwa Mimi, Bwana Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, ninayewaadhibu watoto kwa ajili ya dhambi za baba zao hadi kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options