Skip to content
Kutoka 20:13-17

Kutoka 20:13-17

13
Usiue.
14
Usizini.
15
Usiibe.
16
Usimshuhudie jirani yako uongo.
17
Usiitamani nyumba ya jirani yako. Usimtamani mke wa jirani yako, wala mtumishi wake wa kiume au wa kike, wala ngʼombe wake au punda wake, wala chochote kile alicho nacho jirani yako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options