Rukia maudhui
Kutoka 19:5-6

Kutoka 19:5-6

5
Sasa kama mkinitii kikamilifu na kutunza Agano langu, basi ninyi mtakuwa mali yangu ya thamani kubwa miongoni mwa mataifa yote. Ijapokuwa dunia yote ni mali yangu,
6
ninyi mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’ Haya ndiyo maneno utakayosema kwa wana wa Israeli.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options