Skip to content
Kutoka 19:21-22

Kutoka 19:21-22

21
naye Bwana akamwambia Mose, “Shuka ukawaonye watu ili wasijipenyeze kutafuta kumwona Bwana na wengi wao wakafa.
22
Hata makuhani, watakaomkaribia Bwana ni lazima wajiweke wakfu, la sivyo Bwana atawaadhibu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options