Skip to content
Kutoka 19:14-15

Kutoka 19:14-15

14
Baada ya Mose kushuka kutoka mlimani akawaendea watu na kuwaweka wakfu, wakafua nguo zao.
15
Kisha akawaambia watu, “Jitayarisheni kwa ajili ya siku ya tatu. Mwanaume yeyote asimkaribie mwanamke.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options