Skip to content
Kutoka 17:14-16

Kutoka 17:14-16

14
Kisha Bwana akamwambia Mose, “Andika mambo haya katika kitabu ili yakumbukwe, na uhakikishe kwamba Yoshua amesikia, kwa sababu nitafuta kabisa kumbukumbu la Amaleki chini ya mbingu.”
15
Mose akajenga madhabahu na kuiita Yehova Nisi.
16
Mose akasema, “Kwa maana mikono iliinuliwa mpaka kwenye kiti cha enzi cha Bwana. Bwana atakuwa na vita dhidi ya Waamaleki kutoka kizazi hata kizazi.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options