Skip to content
Kutoka 16:13-14

Kutoka 16:13-14

13
Jioni ile kware wakaja wakaifunika kambi na asubuhi kulikuwa na tabaka la umande kuzunguka kambi.
14
Wakati umande ulipoondoka, vipande vidogo vidogo kama theluji vilionekana juu ya uso wa jangwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options