Skip to content
Kutoka 15:20-21

Miriamu na Wanawake Wafurahi

Kutoka 15:20-21
20
Kisha Miriamu yule nabii mke, ndugu yake Aroni, akachukua matari mkononi mwake na wanawake wote wakamfuata na matari yao wakicheza.
21
Miriamu akawaimbia: “Mwimbieni Bwana, kwa maana ametukuka sana. Farasi na mpanda farasi amewatosa baharini.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options