Skip to content
Kutoka 14:5-6

Kutoka 14:5-6

5
Mfalme wa Misri alipoambiwa kuwa Waisraeli wamekimbia, Farao na maafisa wake wakabadili nia zao kuhusu Waisraeli, wakasema, “Tumefanya nini? Tumewaachia Waisraeli waende zao na tumeukosa utumishi wao!”
6
Kwa hiyo akaandaliwa gari lake la vita, naye akaenda pamoja na jeshi lake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options