Skip to content
Kutoka 14:1-2

Kutoka 14:1-2

1
Ndipo Bwana akamwambia Mose,
2
“Waambie Waisraeli wageuke nyuma na wapige kambi karibu na Pi-Hahirothi, kati ya Migdoli na bahari. Watapiga kambi kando ya bahari, mkabala na Baal-Sefoni.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options