Esta 8:15-16
15
Mordekai akaondoka mbele ya mfalme akiwa amevaa mavazi ya kifalme ya buluu na nyeupe, taji kubwa la dhahabu na joho la zambarau la kitani safi. Na mji wa Shushani ukasherehekea kwa furaha.
16
Kwa maana kwa Wayahudi ulikuwa wakati wa raha na furaha, shangwe na heshima.