Skip to content
Esta 5:7-8

Esta 5:7-8

7
Esta akajibu, “Haja yangu na ombi langu ni hili:
8
Kama mfalme ameona vyema, nami nimepata kibali kwake na kama ikimpendeza mfalme kunipa ombi langu na kunitimizia haja yangu, mfalme na Hamani waje kwangu kesho katika karamu nitakayowaandalia. Kisha nitajibu swali la mfalme.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options