Skip to content
Waefeso 6:14-17

Waefeso 6:14-17

14
Kwa hiyo simameni imara mkiwa mmejifunga kweli kiunoni na kuvaa dirii ya haki kifuani,
15
nayo miguu yenu ifungiwe utayari tuupatao kwa Injili ya amani.
16
Zaidi ya haya yote, twaeni ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu.
17
Vaeni chapeo ya wokovu na mchukue upanga wa Roho, ambao ni Neno la Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options