Skip to content
Waefeso 6:13-14

Waefeso 6:13-14

13
Kwa hiyo vaeni silaha zote za Mungu ili mweze kushindana siku ya uovu itakapokuja nanyi mkiisha kufanya yote, simameni imara.
14
Kwa hiyo simameni imara mkiwa mmejifunga kweli kiunoni na kuvaa dirii ya haki kifuani,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options