Skip to content
Waefeso 4:4-5

Waefeso 4:4-5

4
Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama vile mlivyoitwa katika tumaini moja.
5
Tena kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options