Skip to content
Waefeso 4:31-32

Waefeso 4:31-32

31
Ondoeni kabisa uchungu, ghadhabu, hasira, makelele na masingizio pamoja na kila aina ya uovu.
32
Kuweni wafadhili na wenye kuhurumiana ninyi kwa ninyi, mkisameheana, kama vile naye Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options