Waefeso 4:3-6
3
Jitahidini kudumisha umoja wa Roho katika kifungo cha amani.
4
Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama vile mlivyoitwa katika tumaini moja.
5
Tena kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja,
6
Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote, katika yote na ndani ya yote.