Skip to content
Waefeso 2:4-5

Waefeso 2:4-5

4
Lakini Mungu kwa upendo wake mwingi kwetu sisi, ambaye ni mwingi wa rehema,
5
hata tulipokuwa wafu kwa ajili ya makosa yetu, alitufanya tuwe hai pamoja na Kristo Yesu, yaani, mmeokolewa kwa neema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options