Skip to content
Waefeso 1:19-20

Waefeso 1:19-20

19
na uweza wake mkuu usiolinganishwa kwa ajili yetu sisi tuaminio. Uweza huo unaofanya kazi ndani yetu, ni sawa na ile nguvu kuu mno
20
aliyoitumia katika Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu, na akamketisha mkono wake wa kuume huko mbinguni,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options