Skip to content
Waefeso 2:1-3

Maisha Katika Dhambi na Mauti ya Kiroho

Waefeso 2:1-3
1
Kwa habari zenu, mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,
2
ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za yule mtawala wa ufalme wa anga, yule roho atendaye kazi sasa ndani ya wale wasiotii.
3
Sisi sote pia tuliishi katikati yao hapo zamani, tukitimiza tamaa za asili yetu ya dhambi na kufuata tamaa zake na mawazo yake. Nasi kwa asili tulikuwa wana wa ghadhabu, kama mtu mwingine yeyote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options