Skip to content
Mhubiri 9:7-9

Mhubiri 9:7-9

7
Nenda, kula chakula chako kwa furaha, unywe divai yako kwa moyo wa shangwe, kwa maana sasa Mungu anakubali unachofanya.
8
Daima uvae nguo nyeupe na daima upake kichwa chako mafuta.
9
Furahia maisha na mke wako, umpendaye, siku zote za maisha ya ubatili uliyopewa na Mungu chini ya jua, siku zote za ubatili. Kwa maana hili ndilo fungu lako katika maisha na katika kazi yako ya taabu chini ya jua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options