Skip to content
Mhubiri 6:5-6

Mhubiri 6:5-6

5
Ingawa hakuwahi kuliona jua wala kujua kitu chochote, yeye ana pumziko zaidi kuliko mtu huyo,
6
Hata kama huyo mtu ataishi miaka elfu mara mbili na zaidi, lakini akashindwa kufurahia mafanikio yake, je, wote hawaendi sehemu moja?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options