Skip to content
Mhubiri 6:5-6

Mhubiri 6:5-6

5
Ingawa hakuwahi kuliona jua wala kujua kitu chochote, yeye ana pumziko zaidi kuliko mtu huyo,
6
Hata kama huyo mtu ataishi miaka elfu mara mbili na zaidi, lakini akashindwa kufurahia mafanikio yake, je, wote hawaendi sehemu moja?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options