Mhubiri 6:3-4
3
Mtu anaweza kuwa na watoto mia moja naye akaishi miaka mingi, lakini haidhuru kuwa ataishi muda mrefu kiasi gani, kama hawezi kufurahia mafanikio yake na kwamba hapati mazishi ya heshima, ninasema afadhali mtoto aliyezaliwa akiwa amekufa kuliko yeye.
4
Kuzaliwa kwake hakuna maana, huondokea gizani na gizani jina lake hufunikwa.
Settings